Mnuso wa Nguvu wa kumuaga ( Pre-wedding party) binti wa mdau mkubwa wa Globu ya Jamii ambaye ni Meneja Uhusiano wa Shirika la Reli nchini Ankal Midlaj Maez, Naseem ( wa pili kushoto), uliyofanyika Mei 9, 2012 katika Ukumbi mwanana wa Hoteli ya Lion ,Sinza jijini Dar es salaam. Pichani ni Naseem akiwatambulisha Wazazi kwa jamaa ndugu na marafiki.
Home
Unlabelled
mnuso wa nguvu wa kumuaga binti wa mdau wa globu ya jamii
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
pendeza sana
ReplyDelete