Mke wa Rais, Mama Salma Kikwete akicheza mpira wa netball wakati wa ufunguzi wa mashindano ya Afrika yaliyoanza rasmi leo kwenye uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam.katika mchezo huo,timu ya Tanzania, Taifa Queens imeweza kuichabanga timu ya Lesotho magoli 57-13.
Kikosi cha timu ya Lesotho.
Kikosi cha timu ya taifa ya Netiboli ya Tanzania 'Taifa Queen's.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 4 mpaka sasa

  1. Kila la kheri Taifa queens Mmetoka mbali...

    ReplyDelete
  2. AnonymousMay 08, 2012

    Hukuchukua picha za 3D ankal, au hizo ni binafsi?

    ReplyDelete
  3. AnonymousMay 09, 2012

    Naona Lesotho wameshiba vizuri.. Bongo naona mazoezi mengi wamekaa sawa.. all the best Taifa Queen

    ReplyDelete
  4. AnonymousMay 09, 2012

    ....ndio maana kusini mwa Afrika kuna kiwango kikubwa cha maambukizi ya ukimwi.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...