Mkuu wa Mkoa wa Dodoma,Dr. Rehema Nchimbi (wa pili kulia) akisalimia na Mkuu wa Mkoa wa Kusini Pemba,Mh. Juma Kassim alieongozana na ujumbe wa Wajasiriamali wanaofuga Nyuki katika Kisiwa cha Pemba,Zanzibar waliofika Ofisini kwake leo.kulia ni Mkurugenzi Mkuu wa TASAF,Ladislaus Mwamanga. kikundi hicho kipo Mkoani Dodoma kwa mafunzo ya ufugaji nyuki.
Mkurugenzi Mkuu wa TASAF,Ladislaus Mwamanga (mwenye kaunda suti) akizungumza na Mwita Marwa ambaye ni mlemavu aliefika katika Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Dodoma kumshukuru Mkurugenzi huyo kutokana na TASAF kuwasaidia walemavu wa chama cha DIPEDEA ambacho kilisaidiwa na msaada wa kutengeneza baiskeli za walemavu katika miaka mitano iliyopita na mpaka hivi sasa wame weza kutengeneza baisikeli 60.chama hicho kimeweza kutengeneza baiskeli inayo tumia injini yenye uwezo wa kwenda spidi 60 na kutumia mafuta kidogo.Kulia ni Meneja Rasimali Watu wa TASAF,Bi. Thekla Makundi.picha na Chris Mfinanga.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. AnonymousMay 16, 2012

    Ufugaji Nyuki:

    Hii ndio sekta muafaka ya kimasiha kwa Wastaafu!

    Badala ya kubuni biashara zisizo na tija kama biashara ya bidhaa kuagiza kutoka China, kuendesha Baa, Pub na mipango mingine isiyo endelevu

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...