Viongozi wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) wakiwa katika uzinduzi rasmi wa tawi la Chadema Washington Dc,nchini Marekani.kwenye meza kuu wa kwanza kushoto ni Libe Mwangombe, akifatiwa na Mbunge wa Jimbo la Iringa,Mhe. Peter Msigwa,  Mwenyekiti wa tawi Mhe. Kalley Pandukizi,  Mhe. Zitto Kabwe Mbunge wa Jimbo la Kigoma Kaskazini na Mhe. Nassari Joshua a.k.a Dogo Janja Mbunge wa Jimbo la Arumeru Mashariki. mkutano huo ulifanyika kwenye ukumbi wa Mirage Hall uliopo University Of Bld, Hysattsville, Maryland Nchini Marekani.
Wantazania waishio DMV Nchini Marekani wakiwa katika uzinduzi wa tawi la chadema Washington  Dc.
Baadhi ya wakereketwa wakichukua kadi baada ya uzinduzi wa tawi la chadema Washington
 Mhe. Nassari Joshua (Dogo Janja) Akishanga mamia ya wana DMV waliofurika katika uzinduzi rasmi wa tawi la Chadema Washington Dc.
Mhe. Peter Msigwa akiandika masuali yaliyokuwa yakiulizwa na baadhi ya wakireketwa wa CHADEMA,Washington DC..
Mbunge wa Jimbo la Kigoma Kaskazini,Mhe. Zitto Kabwe akitoa hotuba kuelezea mpango mzima wa mambo yanavyoendelea nchini Tanzania
Wana DMV wakisikiliza hutuba ya Mhe. Zitto Kabwe. (Picha na Swahili Villa Blog.)

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 25 mpaka sasa

  1. AnonymousMay 28, 2012

    ndio nini sasa? acheni ushamba

    ReplyDelete
  2. AnonymousMay 28, 2012

    Chadema wanatisha hadi kwa OBAMA?????????? People's Power kweli kweli.

    ReplyDelete
  3. AnonymousMay 28, 2012

    Duuu, pwaya kabisa wana nyuso za huzuni, haikuwa rahisi kukodisha watu kama wanavyokodusha watu kutoka maoneo yao kuwapeleka sehemu kuongeza idadi, imekuwa ngumu huku. Mbunge wao wa Marekani mbona hatumuoni kuongea? Inakuuaje hivyo?

    ReplyDelete
  4. AnonymousMay 28, 2012

    kuna picha nyingi zinawekwa hapo ,walikuwa na huzuni ni kutokana na ujumbe waliokuwa wanasikiliza.Ndugu yangu hapo ilikuwa mwanzo watu walizaa na kucheza mziki tutaweka picha nyingine mtaona.subiri utaona wewe husikimbilie kusema ,sisi ni makini.hujui kwa nini tumeweka hii picha subiri funika sasa.pipoooooooooooooooooooo,pawaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa

    ReplyDelete
  5. AnonymousMay 28, 2012

    ccm walisindua chama chao waulize basi picha zipo wapi??????????????????????????????????????????????????

    ReplyDelete
  6. AnonymousMay 28, 2012

    ujaujua huo ukumbi ,kuna watu wamekaa upande mwingine ,husiongee kitu ni balaa kwa na kubwa kwa watanzania tulio nje.kwani unafikiri watanzania walio marekani ni wengi kama huku ulaya?????,hapana

    ReplyDelete
  7. AnonymousMay 28, 2012

    Chadema wanatishaaaaa safi sana mpaka kieleweke 2015

    ReplyDelete
  8. AnonymousMay 28, 2012

    Kwa niliyoyashuhudia jana, kweli Watanzania ulimwengu mzima wanataka na pia wako tayari kwa mabadiliko! Viva Chadema Viva. Aluta Continua.........2015-:)

    ReplyDelete
  9. AnonymousMay 28, 2012

    Ukumbi upo waazi huku hao hapo wachache wa wanaosikiliza ni wana CCM!

    ReplyDelete
  10. AnonymousMay 28, 2012

    Kuelekea 2015, CCM mtajibeba!

    ReplyDelete
  11. AnonymousMay 28, 2012

    We anonymous uanesema kukodisha watu nadhani unafikiri hawa ni ninyi ccm mnaokodishaga watu? hawa watu wanapeleka huko na kumbuka hapo c nyumbani ni marekani kama hujasoma kichwa cha habari. ZITO MJE NA HUKU UINGEREZA NA SISI TUNAHITAJI KADI ZENU TAFADHALI

    ReplyDelete
  12. AnonymousMay 28, 2012

    hah ahah, ati mbunge Dogo janja akishangaa ma100 ya wakereketwa, duh anashanga nn sasa si waliwaalika wenyewe? Yaani wa Tz wote walio huko mlipata hao tu?s

    ReplyDelete
  13. AnonymousMay 29, 2012

    Hata tulio Australia tunataka mje.

    ReplyDelete
  14. AnonymousMay 29, 2012

    Mie nilikuwepo na hakukuwa na mfuroko wowote,mradi wamepigwa na butwaa, na mbunge wao mwenye kesi kaufyata anaogopa kufutwa na FBI, aibu imewakuta walidhani watu wataacha shughuli zao kujasusikiliza utumbo.
    Na wewe unayesema kuhusu picha za CCM, zitafute utaziona kama hujui ku-surf for information.........its your funeral!!!
    Mtakufa kwa kijiba cha roho..............!!!! CCM tunaipenda na Jakaya tunampenda.........hatutishwi na hayo maneno, haoooooooo! Hawaelewani...............pipi!

    ReplyDelete
  15. AnonymousMay 29, 2012

    Watanzania kwa kupenda kusafiri.. Haya ni matumizi Mabaya ya fedha kwa Chama kinachodai kitamkomboa mtz..

    ReplyDelete
  16. AnonymousMay 29, 2012

    Kuna wabongo wengine wapo VICHOCHORONI Ohio huko, hao hawana sifa ya kutembelewa.. ila wanaweza kuagiza kadi za Chadema..

    ReplyDelete
  17. AnonymousMay 29, 2012

    Ccm mmetuamgusha! Dharau kwa diaspora imefanya cdm iwe na nguvu. Ukweli diaspora inataka results kuliko siasa.kwanza,pitisha sheria uraia wa nchi mbili. Pili,watz waweze kupiga kura in diaspora. Tuanze na hayo mengine yatafata.asante.

    ReplyDelete
  18. AnonymousMay 29, 2012

    wachaga na chadema...hao kina Didi wanashabikia kutafuta kula tu! hakuna mwenye machungu hapo...wote wafanyabiashara

    ReplyDelete
  19. AnonymousMay 29, 2012

    nyie wenzangu mlio na hijab, msidanganyike hicho sio chama chenu. Kina wenyewe. Mnaingia kichwa kichwa tu bila ya kusoma alama za nyakati. Huko shimboni shafo tu.

    ReplyDelete
  20. AnonymousMay 29, 2012

    Nyie watanzania wa Marekani acheni kudanganywa, hao ni wahuni, mfano huyo Nasari eto dogo janja hakuna chochote huyo, ni mhuni anataka Tanzania iwe kama Sudan, kweli hzio ni akili, nadhani alikuwa hajafika hata huko Marekani hapo alipo ni kipofu kaona mwezi, hakuna chochote nyinyi hamuwezi nchi, na je mnajua kuwa hao Chadema wanauana wenyewe kwa wenyewe ili muwahurumie, hao ndio chadema sasa, wakichukua nchi ni damu tupu. HAMFAHI

    ReplyDelete
  21. AnonymousMay 29, 2012

    Watu wanapoongea mambo muhimu ya kitaifa hawacheki cheki!

    ReplyDelete
  22. AnonymousMay 29, 2012

    Duhhh

    Ni Ubwege wa hali ya juu kuwepo Marekani lakini unakuwa na Itikadi ya Chama kama CDM!

    Mimi hata kama watakuwa wanalipa mshahara kwa wanachama ng'o siwezi kuwa Chadema!

    ReplyDelete
  23. AnonymousMay 29, 2012

    UCHAGA UCHAGA HADI DC?

    ReplyDelete
  24. AnonymousMay 29, 2012

    TUNAHITAJI TAWI HUKU HOUSTON,TX.

    ReplyDelete
  25. AnonymousMay 30, 2012

    Waje Minnesota huko wachagga wa kumwaga , Nji ile ya Minnesota wachagga wachagga wachagga , halafu wote mission town , wakiajiriwa mwaka tuu hao wanasepa , wanajitokeza tuu na Magari makubwa makubwa wanachofanya hakieleweki , duu wachagga sina hamu nao

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...