Wadau Kevin Costa na Doreen Kiwia wakitoka kuchota msosi kwenye mnuso wa nguvu  wa kumeremeta kwao uliofanyika ukumbi wa Selous katika hoteli ya JB Belmont iliyoko Quality Centre jijini Dar es salaam wikiendi ilopita. Kwa mapicha zaidi BOFYA HAPA

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. AnonymousMay 01, 2012

    huyo hapo kulia miwani mikubwa lakini hajuwi mavazi gani yavaliwe wapi, wakati gani, kwa madhumuni na shughuli gani?

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...