Kaimu Jaji Mfawidhi wa Mahakama Kuu- Divisheni ya Biashara, Mhe. Kassim M. Nyangarika (wa pili kutoka kushoto), Msajili wa Mahakama Kuu- Divisheni ya Biashara, Mhe. John Kahyoza (wa kwanza kushoto kutoka mstari wa pili) na Naibu Msajili wa Mahakama hiyo, Mhe. Catherine Revocat (wa kwanza kulia) wakiwa katika picha ya pamoja na Wahe. Majaji wapya 10 wa Mahakama Kuu ya Tanzania pindi walipotembelea Mahakama hiyo leo, Majaji hao waliapishwa na Mhe. Rais mnamo tarehe. 19 mwezi huu. (Picha na Mary Gwera, Mahakama ya Tanzania)

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...