Staa wa muziki wa kizazi kipya Bongo, Naseeb Abdul ‘Diamond Platinumz’ amevuta mkoko wa Kijanja wenye thamani ya ‘mkwanja wa Kibongo Milioni 60 keshi. Kwa habari zaidi tembelea Libeneke jipya la:
Home
Unlabelled
Sanaa inalipa....Diamond avuta mkoko wa nguvu
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
milioni 60?
ReplyDeleteUnga!
ReplyDeleteHongera mwanangu umetoka ila Mdogomdogo haya mamchuma mwanangu huwa hayana nswalia Mtume yatakiwa discipline kubwa mtu wangu
ReplyDeleteHONGERA SANA DOGO UNAJITAHIDI SANA NI MFANO MZURI WA KUIGWA, SIKUFUNDISHI JINSI YA KUISHI ILA DOGO JITAHIDI NUNUA VIWANJA JENGA ZILE NYUMBA ZA BEI RAHISI SELF CONTAIN NDOGONDOGO UNAPANGISHA KWA MASTAA WENZAKO HAYA MAGARI KUWA NA MAWILI YA UKWELI ALAFU TOSHA PIA KUMBUKA USIENDESHE GARI UKIWA UMELEWA NI HATARI KWA MAISHA YAKO
ReplyDeleteKIPEPEO
Assalama Lako zako Al-Ustaadh Naseeb Abdul !!!
ReplyDeleteDiamond Platinumz,
Kwa kuwa wewe sasa ni nyota nchini na kimataifa na kipato kizuri na cha uhakika unacho uamuzi wako wa mchuma kwa 60M ni sahihi!,
Inshallah
wewe unapenda sana masifa kijana.
ReplyDeletedizaini yao hawa mara nyingi wana magari makubwa lakini NYUMBA wanaishi za kupanga...
ReplyDeleteEnheee Muungwana Diamond gari Milioni 60 ?
ReplyDeleteBiidhin Lahhi, sasa umeshakuwa Mwinyi Uledi kama sio Mwinyi Kidekeo.
Wallahi njoo Mbagala tukupe wake wawili kwa mpigo !!!