JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA
WIZARA YA AFYA NA USTAWI WA JAMII
TANGAZO KWA WANAFUNZI WALIOHITIMU VYUO VYA AFYA MACHI , 2012
Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii inapenda kuwajulisha wanafunzi wote waliohitimu vyuo vya afya nchini mwezi Machi 2012, kufika Wizarani ili waweze kuchukua barua za kupangiwa vituo vya kazi kabla ya tarehe 30 June,2012.
Pia waombaji wengine waangalie majina yao kwenye website ya Wizara www.moh.go.tz
Imetolewa na:
Regina L. Kikuli
Kaimu Katibu Mkuu
21/06/2012
Ebu wahini kazini si mnajua jamaa wanataka kugoma.
ReplyDelete