Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 2 mpaka sasa

  1. AnonymousJune 20, 2012

    Nimeipenda, ila siyo ya kujivunia maana he is just playing with time bomb, ukiangalia huo mti una miaka kadhaa, je amejiandaaje na kuvunjika kwa mbuyu???? ina that case ukivunjika tenants would be users of the proprert fate yao itakuwaje? nyumba ingekuwa strong enough say concrete flat roof tungesema there are some precautions taken against colapsing Baobab Branches lakini kama ilivyo sikai hapo ng'o..... mchana mwema.

    Nadhani hakupata ushauri wa kutosha kabla ya kuamua kujenga

    ReplyDelete
  2. AnonymousJune 20, 2012

    Ujenzi na Mpango wa makazi wa namna hii!

    Mmiliki wa majengo hayo yaliyo na mbuyu katikati ana uhakika gani na ustawi wa mmea huo kama hautaanguka karibuni, kunyauka au kuchanika kwa kupigwa na radi?

    Hivi hapa nchini tuna Bima za Majengo?

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...