Makundi mbalimbali ya wakufunzi wa Sensa kwa ngazi ya kitaifa wakiwa katika mafunzo kwa njia ya vitendo leo katika Kijiji cha Nala mkoani Dodoma jinsi ya kutumia ramani katika zoezi la sensa ya watu ambayo inatarajia kufanyika nchini kote tarehe 26.08.2012. Wakufunzi hao wako mkoani Dodoma kwa ajili ya mafunzo ya kuwawezesha ili nao waende kutoa elimu hiyo katika ngazi za mikoa.Picha zote na Tiganya Vincent- MAELEZO-Dodoma

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 2 mpaka sasa

  1. AnonymousJune 22, 2012

    Napamiss Dodoma!

    ReplyDelete
  2. AnonymousJune 22, 2012

    Usione pazuri hivyo ni kwa vile mvua ilinyesha si siku nyingi,vinginevyo ni jangwa. Alafu mumea uliombele hapo Bukoba unaitwa kitaterande ni dawa nzuri sana hiyo.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...