Makamu wa Rais wa Africa Kusini akihutubia wageni waalikwa kwenye ukumbi wa ndani wa Diamond Jubilee juu ya dhamira yao ya kuenzi wapigania uhuru wake kila mwaka kwa kupitia SOMAFCO TRUST.
Wageni waalikwa kutoka Vyuo Vikuu na Taasisi mbali mbali,wakiwemo pia kutoka Afrika Kusini na nchi marafiki wakisikiliza kwa makini hotuba ya makamu wa Rais wa Afrika Kusini alipoutubia juu ya mikakati ya kuenzi wapigania uhuru,ambapo alisema Mzimbu na Dakawa kutajengwa kumbukumbu maalumu za kistoria kusaidia vizazi vijavyo kutambua wapigania uhuru wao.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...