Globu ya Jamii inakutambulisha libeneke la kocha wa zamani wa Taifa Stars Marcio Maximo ambaye daima atakumbukwa kwamba ndiye kocha aliyeibua msisimko katika mchezo wa soka uliokuwa umefifia kabla ya kuja kwake Tanzania na kufanya kazi kwa miaka minne.
Home
Unlabelled
libeneke la kocha marcio maximo
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Contract aliyopata TZ ilikuwa ni kubwa. Kiwango chake ni kidogo so sidhani kama atapata another contract that big.
ReplyDeleteNilijua mtamkumbuka na fitna za kibongo ndo kama hizo hapo juu, nilidhani alikuwa mziray peke yake.
ReplyDelete