Katika dunia ya leo, kuwa na website sio kitu cha kuchagua tena bali ni cha lazima, ila kuwa website inayofanya kazi kwa gharama nafuu ni chaguo madhubuti. Katika kulitambua hili, timu nzima ya AfroIT.com inakuletea mafundisho ya kutengeneza website kwa kutumia award winning open source Joomla bila gharama yoyote. Mafunzo haya yenye module 17 hadi sasa yameshafikia module ya  kumi.

 Mafunzo haya yanayotolewa kwa kiswahili tena kwa mtindo wenye uhalisia wa Mtanzania, yanawafaa watu wote kuanzia mtengeneza tovuti, mmiliki wa blog nk, hivyo wakati ni huu sasa.

 Unaweza kuangalia mafunzo haya kwenye Youtube Channel yetu au moja kwa moja toka kwenye tovuti yetu yaAfroIT.com. Pia unaweza kudownload na kuweka kwenye simu, kompyuta, iPad nk  na ukawa unapata mdidi kila ulipo.

 Pia usisite kutumia Forums kwa ajili ya majadiliano pindi unapopata utata kwenye mafunzo na kuhitaji msaada.

The Team

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 2 mpaka sasa

  1. AnonymousJuly 21, 2012

    Waoh.....we need such creativity in our country ankal! Hongereni sana jamani.mitawasaidia vijana wetu wanaoshinda vijiweni kupata cha kufanya angalau.....congrats big guys!

    ReplyDelete
  2. AnonymousJuly 21, 2012

    Sijapenda hicho kitufe cha juu kabisa katika hiyo image.Muwe makini na shepu mnazozitumia.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...