Mchezaji wa Pool wa Klabu ya Jaba ya Mkoa wa kimichezo wa Kinondoni, Said Mohamed akicheza wakati wa mashindano ya Safari Pool Taifa ngazi ya Mkoa kwenye Ukumbi wa New Mwinjuma Dar es Salaam jana.
Mchezaji wa Pool wa Klabu ya Jambo Lee ya Kinondoni akicheza wakati wa mashindano ya Safari Pool Taifa ngazi ya Mkoa yanayoendelea jijini Dar es Salaam.
Mchezaji wa Pool wa Klabu ya Jaba ya Mkoa wa kimichezo wa Kinondoni, Haji Hussein akicheza wakati wa mashindano ya Safari Pool Taifa ngazi ya Mkoa kwenye Ukumbi wa New Mwinjuma Dar es Salaam jana.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. AnonymousJuly 16, 2012

    Mkitaka kufika mbali tumieni ujuzi wenu, msiwe kama Simba na Yanga kutumia uchawi na kushindwa kuvuma nje ya nchi.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...