Mkurugenzi Mkuu wa Kamati ya Maafa Zanzibar, Bw. Ali Juma Hamad (Kushoto), akipokea sehemu ya msaada  kutoka kwa Meneja wa Tawi wa Benki ya NMB Zanzibar, Bw. Mluku Abdallah Maggid, kisiwani Unguja .Msaada huo wenye thamani ya shilingi milioni 10/- ni maalum kufuatia maafa ya ajali ya MV Skagit iliyotokea Julai 18, mwaka huu.
Maafisa wa Benki ya NMB tawi la Zanzibar wakiwa wamebeba sehemu ya msaada huo.
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar, Mhe. Balozi Ali Seif Idd (Kati), akizungumza na Meneja wa Tawi la Benki ya NMB Zanzibar, Mluku Abdallah Maggid ofisini kwake kisiwani humo wakati akipokea msaada huo. Kulia ni Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Pili wa Rais, Mhe. Mohammed Aboud Mohammed.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 3 mpaka sasa

  1. AnonymousJuly 25, 2012

    KAKA MICHUZI WAPI HABARI YA MAMA ALIEPIGWA UWANJA WA TAIFA KWENYE MPIRA?
    MDAU USA

    ReplyDelete
  2. AnonymousJuly 25, 2012

    Kuchangia haya maafa serikali inapumbaa na kutojua inastahili lawama

    ReplyDelete
  3. AnonymousJuly 25, 2012

    yes tupe habari ya mama aliyepigwa uwanja wa taifa kwenye mpira na pia naona mohammed aboud mohammed ajiuzuru

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...