Waziri Mkuu Mhe  Mizengo Pinda akiwa na Mwekezaji kutoka Nigeria, Bw.Aliko Dangote  (kulia) ambaye anakusudia kujenga kiwanda cha saruji mkoani Mtwara, baada ya mazungumzo yao jijini Dar es salaam leo Julai 15, 2012.Kushoto ni Balozi wa Nigeria nchini, Dr. Ishaya  Manjabu. 
Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 5 mpaka sasa

  1. Proudly MmakondeJuly 15, 2012

    ..Good News!! Long Live JK, Long Live Alhajj Aliko Dangote... Long Live Mtwara, future Tz's richest city..

    ReplyDelete
  2. AnonymousJuly 15, 2012

    waweke na viwanda vingine kama vya kutengeneza maji ya nazi au kusindika baadhi ya vitu ningefurahi lakini saruji viwanda tunavyo tayari.

    ReplyDelete
  3. AnonymousJuly 15, 2012

    waaaw that guy is damn loaded, very very rich...watanzania tuamke kuna chance nyingi sana wanaigeria na wakenya watakuja kuchukua na kuondoka.

    ReplyDelete
  4. AnonymousJuly 15, 2012

    Tatizo la Tanzania ni kwamba kila biashara ni lazima ufanye na serikali na sio watu binafsi. Biashara ikiingiwa na serikali inapunguza kasi ya maendeleo. Tuchukue mfano wa USA

    ReplyDelete
  5. AnonymousJuly 17, 2012

    tuchukuwe mfano wa china siyo usa bwana wezi watupu tu usa na wache wawekeze mwanzo mpaka mwisho na sisi tuwe mafukari katika nchi yetu wenyewe mafisadi oyee wa wawekezaji

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...