Hii salam inanamba maalum 0689 099 444 ambapo ni msaada kwa mtu yeyote mwenye shida ya kuuliza chochote au akitaka kutoa msaada wowote atawapigia au kuwasiliana wenzetu na REDCROSS ambao wako huko Zanzibar na wengine hapa Dar kutoa msaada wa haraka kwa ndugu zetu waliothirika na maafa ya ajali ya boti .

Pia kuna akaunti maalum ya Airtel Money ambapo shortcode yake au (jina la fumbo) MAAFA iliyopo chini ya kitengo chetu cha huduma kwa jamii kwaajili ya wasamaria wema kuweza kuwachangia chochote ndugu zetu waliofikwa matatizo ya kufiwa na kupoteza ndugu na mali zao kwenye ajali hiyo

Asante

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...