Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 7 mpaka sasa

  1. AnonymousJuly 23, 2012

    brothe michuzi wewe ni mtaalam wa camera.je huwapi ushauri? yani huko nyumbani bado saana kwenye mambo ya kushuting yan hapo camera iko upande mmoja tu.tunaona aibu kuwaonyesha hawa wenyeji wetu huku nnje tulipo pls jaribu kuwaelekeza wapo watalaam kina lewis nambole nawafahamu tokea niko huko nyumbani.hatata kama shoting ni mbaya basi kuweni na camera nyingi.kidogo itakua afadhali.dan jews ubatan

    ReplyDelete
  2. AnonymousJuly 23, 2012

    Hivi n lin tunakuwa na mfumo mzuri wa utangazaji wa mpira maana hapa ni kelele tu za mashabiki na mavuvuzera na mbwembwe nyingiiii, enewei hii ndo Tz bwana..!!

    ReplyDelete
  3. AnonymousJuly 23, 2012

    umetumwa kuweka hiyo picha? yakale hayuniki weka mechi ya juzi simba na vita!

    ReplyDelete
  4. AnonymousJuly 23, 2012

    hali ya simba ni mbaya zaidi sasa hivi, wameweka hii kujifariji, Azam wanakuja hao wapisheni ooo!! oohh!!!

    ReplyDelete
  5. AnonymousJuly 23, 2012

    Ingependeza ungeweka mechi ya fainali ya Kagame iliyopita.

    ReplyDelete
  6. AnonymousJuly 23, 2012

    aha ha haaaa....kale ka wimbo kanasemaje vile....sijui nani ameolewa...aha haha

    ReplyDelete
  7. AnonymousJuly 23, 2012

    Wanaitwa Young5!

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...