Ni miaka mitatu sasa (10/8/2009) tangu Mpendwa baba yetu Samwel Lewis Mbezi (kidume sr) Ututangulie mbele za haki,Unakumbukwa sana na mkeo,watoto zako na wajukuu wote bila kusahau familia ,marafiki na jamaa zako kwa Ukarimu,Ucheshi na misaada yako. Tulikupenda sana lakini Mungu akakupenda zaidi.
Raha ya milele umjalie eebwana na Nuru ya daima ikuangazie..

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...