Taste of Tanzania @ DICOTA 2012


1.     -Wali wa nazi, mchuzi wa nyama, spinach, na fruits.
2.     -Wali wa nazi, maharage, mishikaki, kachumbari na tunda.
3.     -Pilau, mishikaki, kachumbari, fruit.
4.     -Kande, kuku wa kuchoma, mboga za majani, matunda.
5.     -Ndizi za nyama, kuku wa kuchoma, mboga za majani au kachumbari na matunda.
6.     -Wali mchanganyiko (vegetable rice) mishikaki au kuku wa kuchoma, kachumbari, matunda.
7.     -Ugali na nyama ya kuchoma na kachumbari na matunda.
-Kila sahani itakuwa na complimentary kitumbua kimoja na maandazi mawili kwa ajili ya kuonja tu. Ukihitaji hivyo kwa ajili ya asubuhi agiza na chakula ili vitayarihwe mapema.
-Vitumbua na maandazi vitapatikana kwa order tu.
-Maji, soda, chai, kahawa na bia vitakuwepo kwa gharama zako, tafadhali agiza mapema ili viandaliwe.
  
Kwa mawasiliano kwa ajili yak u-order piga simu zifuatazo

Contact number kupiga ili kuweka order ni 
312-493-7126


or  773-592-0140



or  224-623-1244

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...