Kikundi cha ngoma cha Wamasai kutoka wilaya ya Longido kitoa  burudani kwenye uzinduzi wa maonesho ya NaneNane  kanda ya Kaskazini yanayofanyika katika viwanja vya Themi, Njiro, jijini Arusha. Picha na Woinde Shizza wa Globu ya Jamii.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. Kaka leo nimepata shida sana kuwaelezea wenzangu wa Zimbabwe na Nigeria kuwa Tanzania ina wamasai, wao wanajua kuwa wamasai ni wa kwenye tu. Hii ni hatari, tumezidi mno kupuuzia kutangaza utalii wetu, ndo maana hata Serengeti inajulikana kwa wengine kuwa ikop Kenya. Tafadhali Wizara husika tujitahidi kuweka sawa jambo hili

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...