Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe akimtambulisha kwa wanaharakati  Mbunge wa Arumeru Mashariki Joshua Nasari wakati wa ufunguzi wa harambee ya Movement for Change - M4C iliyopo chini ya CHADEMA. Jumla ya shilingi Milioni 323 zimepatikana katika harambee hiyo ambapo katika hizo pesa taslimu ni shilingi milioni 70 na ahadi ni milioni 253. Hafla hiyo ya kuchangia ilifanyika katika hoteli ya Serena jijini Dar.
  Mbunge wa Arumeru Mashariki Joshua Nasari akiongea wakati wa ufunguzi wa harambee ya Movement for Change - M4C iliyopo chini ya CHADEMA. Jumla ya shilingi Milioni 323 zimepatikana katika harambee hiyo ambapo katika hizo pesa taslimu ni shilingi milioni 70 na ahadi ni milioni 253. Hafla hiyo ya kuchangia ilifanyika katika hoteli ya Serena jijini Dar usiku wa kuamkia leo
 Mbunge mstaafu wa Jimbo la Arusha Godbless Lema akiongea kwenye wakati wa ufunguzi wa harambee ya Movement for Change - M4C iliyopo chini ya CHADEMA. Jumla ya shilingi Milioni 323 zimepatikana katika harambee hiyo ambapo katika hizo pesa taslimu ni shilingi milioni 70 na ahadi ni milioni 253. Hafla hiyo ya kuchangia ilifanyika katika hoteli ya Serena jijini Dar usiku wa kuamkia leo
 Wanaharakati mbali mbali waliojitokeza kuhudhuria  harambee ya Movement for Change - M4C iliyopo chini ya CHADEMA. Jumla ya shilingi Milioni 323 zimepatikana katika harambee hiyo ambapo katika hizo pesa taslimu ni shilingi milioni 70 na ahadi ni milioni 253. Hafla hiyo ya kuchangia ilifanyika katika hoteli ya Serena jijini Dar usiku wa kuamkia leo


 Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Dk. Wilibrod Slaa akiwahutubia wananchi wa kijiji cha Mgeta katika jimbo la Kilombero mkoani Morogoro ikiwa ni sehemu ya mikutano ya operesheni Sangara.
 Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Dk. Willibrod Slaa akiongozana na viongozi mbali mbali wa chama hicho, walipokuwa wakivuka katika
kivuko cha mto Kilombero wakitokea jimbo la Kilombero kuelekea jimbo la Ulanga Magharibi, katika mikutano ya Operesheni Sangara inayoendelea katika mkoa wa Morogoro. Kulia kwake ni Mwenyekiti wa mkoa wa Tabora, Kansa Mbaruok.
Picha na Joseph Senga

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 11 mpaka sasa

  1. LAITI HIZO PESA WANGEFANYA HARAMBEE KWA AJILI YA SHUGHULI ZA MAENDELEO ,INGEMAKE SENSE ZAIDI,WANGEELEKEZA KWENYE HUDUMA ZA MAJI,AFYA ,ELIMU NINGEONA WANA NIA KWELI YA MABADILIKO..................KUCHANGISHA PESA KWA AJILI YA KUZUNGUKA NA HELIKOPTA NI SIO SAHIHI KABISA.

    THUMB UP IF U AGREE
    MDAU

    ReplyDelete
  2. I dont Agree with your coment.
    Tunataka tuwape dola ili waweze kuyatatua hayo matatozo uliyoyasema. Hatuwezi kutatua matatizo yote ya jamii kwa kuchangishana wakati tuna serikali na rasilimali nyingi na kodi tunakusanya nyingi.

    Nafikikiri ni vyema tubadili utawala dhalimu na dhaifu kwanza tuweze kusongabele.

    ReplyDelete
  3. Afya , elimu na huduma za jamii pamoja na miundo mbinu ni shughuli ya chama tawala yenye serikali yaani CCM.

    Si unaona CDM walivyobana matumizi kwa Katibu Mkuu wa CHADEMA kutumia meza ya kijiji kama jukwaa.

    Kazi ya chama pinzani ni kubainisha kuwa serikali iliyopo madarakani inapaswa kufanya vizuri zaidi ktk huduma za kijamii na miundo mbinu pamoja na kubana matumizi.

    Mdau
    Kijijini
    Mdaula

    ReplyDelete
  4. JOSHUA NASARI:

    Unatumika kama chuma ulete !

    Jamaa wanavuna mapesa mamilioni yote hayo kupitia mgongo wako !

    Angalia katika mchakato wa Uchaguzi ulidai Mpinzani wako Siyoi Sumari hakai Arumemeru akipewa atawaacha wapiga kura na kuaa zake Dar.

    Sasa wewe upo Arumeru?

    ReplyDelete
  5. Wewe Mzee mgolole na bahari wapi na wapi?

    Ahhh wapi na hilo lishuka lako,

    Si utazama bureee!

    ReplyDelete
  6. hongera chadema 2ko pamoja aluta continua

    ReplyDelete
  7. HAHAHAH NICHEKE MIE ALLOWANCE ZA HAWA JAMAA OPERATION SANGARA OGOPA HAHAHA CHD KIBOKO...

    ReplyDelete
  8. ukimbi umejaa kabila la Lema na Mbowe kazi kweli kweli

    ReplyDelete
  9. Kweli hapa nakubaliana na mabadiliko lakini sio kuchangishana pesa kwa ajili ya kulipana POSHO na kwa wle msiojua kwa taarifa yenu hizo pesa mnazochanga ni kwa ajili ya kulipa posho za hawa jamaa,huwezi kukosoa mpinzani wako kwa mijineno tu toa kitu japo hosp mpja tu!Hawa jamaa wote sawa na ccm wadau lao moja hawa jioni unawakuta pamoko wanakula gahawa!
    Huyu Joshua Nasari naye magumashi matupu siku hizi ashahama Arumeru hakai tena

    ReplyDelete
  10. Kanyaga twende mpaka keeleweke

    ReplyDelete
  11. Slaa analipwa mshahara million saba za kitanzania kwa mwezi na marupurupu juu, ndio kubana matumizi huko.Danganya toto.Hizi pesa za kulipa hawa jamaa posho za kufa mtu.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...