Mkurugenzi Mkuu wa Mfuko wa pensheni wa PPF, Bw. William Erio (Kushoto) akiongea jambo na wajumbe wa bodi ya wakurugenzi ya mfuko huo, Bw. Nassoro Baraza (Katikati), na Mama Mwamini Tuli, kwenye futari aliyowaandalia wafanyakazi wa mfuko leo jijini Dar es salaam
 Baadhi ya wafanyakazi wa Mfuko wa Pensheni wa PPF, wakichukua chakula wakati wa futari iliyoandaliwa na Mkurugenzi Mkuu, kwa wafanyakazi wa mfuko huo jijini Dar es Salaam jana
 Meneja Uhusiano wa mfuko wa pensheni wa PPF, Lulu Mengele, akifuturu kwenye futari iliyoandaliwa na Mkurugenzi Mkuu wa mfuko huo jijini Dar es Salaam
Mkurugenzi wa ukaguzi wa ndani wa mfuko wa Pensheni wa PPF, Hoseah Kashimba (Kulia) na Meneja wa Huduma kwa wateja na masoko wa mfuko huo, Mbaruku Magawa, wakati wa futari hiyo.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. Lulu,

    Fanya DAYATI bana, unazidi KUNENEPA bana.

    Ni mimi nduguyo wa siku nyingi A.M

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...