Husika na kichwa cha habari hapo juu ndugu wanachama,mwenyekiti anawajulisha uwepo wa mkutano mkuu utakaofanyika siku ya jumamosi tarehe 8 mwezi wa tisa (9),2012.katika chuo cha bahari (DMI ) saa nne asubuhi.

 Agenda za kikao ni;
1.Ripoti ya utekelezaji kazi za kamati ya utendaji
2.Taarifa ya mapato na matumizi
3.Kupitisha rasimu ya katiba ya chama /marekebisho ya katiba
4.Uchaguzi wa viongozi kwa nafasi zilizowazi
5.Kutoa maelekezo juu ya kuandaa mpango mkakati wa chama wa miaka mitano /strategic plan 

Ukiwa mwanachama unaombwa kuhudhuria bila kukosa ili kutumuia haki yako ya kikatiba katika kuchangia na kusimamia maendeleo ya chama.

WAKO
 SALUM S. H
Kaimu katibu MNOAT

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. Upuuzi mtupu,hiyo MNOAT ni marehemu,wanafanya hivyo baada,ya kuona kuna JAHAZI imeanzishwa,kwanini Watanzania tumekuwa na roho mbaya namna hii???Hiyo MNOAT,imesaidiaje maofisa wataalamu wa mambo ya bahari???tuwe wakweli

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...