Ndugu wanachama wa chama cha  Mapinduzi,
Tunapenda kuwafahamisha kuwa Tawi la chama cha mapinduzi- DMV linategemea kufanya mkutanao mkuu wa wanachama wote . Mkutano huu utafanyika siku ya Jumapili, tarehe 12 August 2012, mahali utakapofanyika ni 7901 MEADOW CREEK PARK, SILVERSPRING MARYLAND, Muda wa mkutano ni 4.00 P.M JIONI. ( TAFADHALI ZINGATIA MUDA).

Baadhi ya Agenda za mkutano zitakuwa:
1.    Kujadili Maendeleo ya Tawi
2.    Taarifa Kamili ya Tawi
3.    Kuandikisha wanachama wapya na utoaji wa kadi

Kwa maelezo zaidi, tafadhali usisite kuwasiliana na wajumbe wafuatao:
1.    Loveness Mamuya          240 -423 -0437
2.    Yacob Kinyemi                  202-629 -7841
3.    Lemmy Mhando               202-361-1059
4.    Alawi  Omary                     301-592-7581
5.    Faraja Isongo                     301-592-7581
6.    Benjamini Mwaipaja        240-243-6737
7.    Hidaya Mahita                   240-271-7799
8.    Halima Ali                            240-988-4242
Wanachama wote wa CCM Mnakaribishwa
Taarifa Imetolewa na
 ofisi ya Katibu wa Tawi-DMV

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...