Washambuliaji wa timu ya taifa, (Taifa Stars) Mrisho Ngassa (kulia) na Haruna Moshi Boban wakiwasili katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa ya Mwalimu Nyerere jijini Dar es Salaam kwa ajili ya safari ya kwenda Gaborone, Botswana kucheza mechi ya kirafiki ya kimataifa kesho Jumatano.
Nohodha wa timu ya Taifa,Taifa Stars Juma Kasseja akiwasili katika Uwanja wa Ndege wa Mwalimu Julius Nyerere tayari kwa kupanda ndege kwenda Gaborone, Botswana kwa ajili ya mechi ya kimataifa ya kirafiki itakayochezwa kesho Jumatano.
Wachezaji wa timu ya Taifa, Taifa Stars wakiwa katika Uwanja wa Ndege wa Mwalimu Julius Nyerere tayari kwa kupanda ndege kwenda Gaborone, Botswana kwa ajili ya mechi ya kimataifa ya kirafiki itakayochezwa kesho Jumatano.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 5 mpaka sasa

  1. Kila la heri Stars.Chezeni kwa bidi ili kushinda,mkishinda ugenini ni rahisi kupata mialiko kutoka kwenye timu nyingine Vigogo duniani.

    David V

    ReplyDelete
  2. wanaenda kufanya nini huko..poteza muda tu na mafuta ya ndege na pesa..

    ReplyDelete
  3. Kila la kheri taifa stars ,wachezaji jitumeni na kuipeperusha vema bendera ya taifa.Mdau hapo juu unaonekana hauna uzalendo na sio mwanamichezo ,je fani yako nini?Big up mdau ,big Joe

    ReplyDelete
  4. Msizamie tu huko mtachinjwa

    ReplyDelete
  5. Hajabu, yaani Ngassa, Nyosso, Kaseja, ni wachezaji wa taifa kweli? Najiuliza kwa mpira upi? Sasa hapa tunategemea nini ikiwa wachezaji wenyewe ndo hawa? Kumbukeni, uchawi na vipaji ni vitu viwili tofauti kabisa.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...