Mkurugenzi Msaidizi, Bwana Ally Msaki (aliyesimama mwenye miwani) alifungua mafunzo ya siku tano ya namna ya kuhuisha ajira na kazi zenye staha katika mipango ya programu za maendeleo ya serikali yanayofanyika Kibaha kuanzia tarehe 13-17 Agosti, 2012.
Home
Unlabelled
ufunguzi wa mafunzo ya ajira wafanyika leo mjini Kibaha
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...