Waziri Mkuu Mizengo Pinda akimkabidhi zawadi ya picha, balozi wa Jamhuri ya Korea nchini aliyemaliza muda wake, Bw. Young- Hoon Kim ambaye alikwenda Ofisini kwa Waziri Mkuu leo kuaga 
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akisalimiana na Balozi wa Jamhuri ya Korea nchini, Bw. Young-Hoon Kim ambaye alikwenda Ofisini kwa Waziri Mkuu jijini Dar es salaam leo kuaga. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...