Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa,  Bernard Membe (Mb) akiwa katika picha ya  pamoja na  Rais wa Marekani, Barack Obama  na Mkewe Michelle Obama.  Wakati wa hafla ambayo  Rais  Obama  aliiandaa kwaajili ya  Viongozi  Wakuu wa Nchi na Serikali  ambao wamekusanyika Jijini New York kuhudhuria Mkutano wa 67 wa  Baraza  Kuu la Umoja wa Mataifa. Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa Bernard Membe  anaongoza ujumbe wa  Tanzania katika Mkutano huu akimuwakilisha Mhe.  Rais Jakaya Mrisho Kikwete na atauhutubia mkutano  huo kwa niaba ya Rais  siku ya  Ijumaa. Hafla  hiyo imefanyika  katika Hotel ya maarufu ya Waldorf  Astoria jijini  New York

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 4 mpaka sasa

  1. Iwe isiwe baba lazima kitaeleweka. Big up Mh. Membe.

    ReplyDelete
  2. hongera sana raisi mtarajiwa 2015 bernard membe.

    ReplyDelete
  3. Ukikubalika na huyo jamaa hamna wa kuleta pingamizi taratibu Mzee angalia wasije wakakuchafulia maasidi.

    ReplyDelete
  4. Hongera sana Raisi MEMMBE

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...