Home
Unlabelled
Ankal agongana na wadau Zurich, Uswisi
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
MichuziBlogV2Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Fulanazzz
ReplyDeleteMjomba hiyo Fulanazzzz ni tambiko au ndio kanuni?
ReplyDeleteMaana pamoja na Koti la maana kabisa lakini bado ipo mwilini,,,sisi tutanmtafuta Daktari au Mwalimu aliyekupatia hiyo Fulanazzzz!
hiiiii! Ze Fulanazzzzzzzzzz! ya globu ya jamii ndani Uswiss
ReplyDeletewadau
FFU UGHAIBUNI
The Fulanaz
ReplyDeleteHuyo Mwanasayansi au 'Sheikh' aliyekupatia fulanazzz kwa kweli alipatia mashariti magumu sana!
ReplyDeleteYaani hata kama utavaa koti la dhahabu lakini ndani fulanazzz?
Mimi swali langu moja tu.....
ReplyDeleteAnkal; kwani hiyo fulana haichakai?
Sheikh Yahya alimtabiria kwamba akivaa hii fulani kila wakati vekesheni ya Magogoni atakuwa kwenye list!
ReplyDeleteComments za chuki nongwa Nk... Hao lazima ni wabongo. Can we have substance pliiz. Vipimo viwili kwa kila mmoja.
ReplyDelete