sasa hawa barabara yote wamesimama wao pekee,wengine wapite wapi na ili hali wanaona kabisa kuwa barabara ni ndogo.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 8 mpaka sasa

  1. Wana tabia chafu hawa madereva wa daladala na viburi sana,utadhani hawafahamu vizuri sheria za barabarani.Wananikera kweli.Wanaweza kusimama muda mrefu katikati mwa barabara..ukasubirii weeeeeee..ukiamua sasa kuovertake ili upite pembeni na yeye anaondoka..upo hapo??Bora zije hizo treni na mabasi yaendayo kasi utakuwa mwisho wa jeuri yao

    ReplyDelete
  2. si ndo kibongo bongo hiyo hakuna sheria halafu tunajifanya tambarare na kuwafukuzia wataifa ya juu wakati bado tuna taamba.

    tuwachiye tu wafanye hivyo kwa sababu its THIRD WORLD lilfe

    ReplyDelete
  3. Hii ni kawaida yao kabisa na hapa wanazibiana ili kupata au kuwahi abiria wakati wanajua kuna magari mengine lazima yapite. Hii hasa barabara ya tandale sasa ina maana wanaosimamia sheria hawalijui hili?! Kamanda wa traffic wa mkoa tafadhali tekeleza wajibu wako

    ReplyDelete
  4. Magari menyewe nasikia mengi ni ya ma traffic...conflict of interests

    ReplyDelete
  5. serikali legelege huzaa watumishi legelege,hapa Dereva anatafuta riziki yake kwa njia ya mkato,watumishi wa serikali nao wanatafuta njia za mkato ili kieleweke.Inawezekana polisi usalama barabara wamekula rushwa hao mpaka rushwa imechefua kilichobaki ni kutizamana au kujifanya hujaona.Labda liletwe ROBOTI KUKAMATA WAPUUZI HAWA.

    ReplyDelete
  6. Wasome alama za nyakati wamiliki na wafanyakazi wote wa daladala nionacho ni kero kubwa ambayo abiria na wananchi wote wanayopata toka kwao. Ongezeko la mabasi 200 ya UDA, mabasi yaendayo kasi,treni mbona watatafuta mapori watakimbilia vijijini wenyewe bila ya kupewa notisi. ni subira tu yahitajika.

    ReplyDelete
  7. Anonymous Anonymous said...
    Sat Oct 20, 08:44:00 PM 2012

    Umesema kweli ndugu yangu kama siyo yake basi yeye msimamizi wakikugonga wabambikiwa kesi fasta. We acha tu.

    Observer.

    ReplyDelete
  8. Tatizo ni miundombinu mibovu,hao jamaa wapo sawa kabisa.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...