Kaimu Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Masuala ya UKIMWI Mhe.Said Suleiman Said ambaye pia ni Mbunge wa Mtambwe, akipokelewa na viongozi wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi na Idara ya Magereza wakati yeye na wajumbe wenzake walipotembelea Gereza Kuu la Ukonga jijini Dar es Salaam.
Kamishna Jenerali wa Jeshi la Magereza nchini, John Minja akitoa maelezo kwa wajumbe wa Kamati ya Bunge ya Masuala ya UKIMWI na viongozi wa Wizara ya Mambo ya Nchi wakati walipotembelea Gereza Kuu la Ukonga jijini Dar es Salaam.
Maafisa Waandamizi wa Jeshi la Magereza wakishiriki katika Kikao cha wajumbe wa Kamati ya Bunge ya Masuala ya UKIMWI waliotembelea Gereza Kuu la Ukonga jijini Dar es Salaam.
Mjumbe wa Kamati ya Bunge ya Masuala ya UKIMWI, Mhe. Hamood Jumaa, ambaye pia ni Mbunge wa Kibaha Vijijini akiteta jambo na Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Pereira Ame Silima wakati Kamati hiyo ilipotembelea maeneo mbalimbali ya Gereza Kuu la Ukonga, jijini Dar es Salaam.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...