Kada wa Chama cha Mapinduzi mkoani Kilimanjaro, Aggrey Marealle jana amechaguliwa kuwa Mjkumbe wa NEC kutoka Wilaya ya Moshi mjini Mkoani Kilimajaro.Mareale amemwangusha mpinzani wake katika nafasi hiyo Buni Ramole. Aidha katika uchaguzi huo pia ulimchagua Bi. Elizabeth Minde kuwa Mwenyekiti wa Chama hicho wilaya ya Moshi Mjini.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 2 mpaka sasa

  1. Mmemuona Mchagga mjanja?

    Ni Aggrey Marealle, !

    Huwezi kupata maisha kama haupo kwenye mfereji wa maziwa kwa asali, amechagua CCM kwa kuwa amejua CDM ni safari ndefu kufikia Malengo!

    ReplyDelete
  2. Unamtania sumae? Unajua siku hizi anasoma hizi blog hasa baada ya kutoka kujifua uraya!

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...