Leo ni Jubilei ya miaka 50 ya Hospitali ya Igogwe wilayani Rungwe mkoa wa Mbeya na Askofu Chengula (pichani chini) ameongoza maandamano ya mamia ya waumini na wadau huko Igogwe na waandamanaji hao wako katika ibada hivi sasa kumshukuru Mungu kwa maendeleo na mafanikio ya hospitali hiyo katika miaka hiyo. Tutaendelea kuwapasha yanyojiri.
Home
Unlabelled
sherehe za Jubilei ya miaka 50 ya Hospitali ya Igogwe wilayani Rungwe mkoa wa Mbeya hivi sasa
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...