Balozi wa Ubalozi wa Kudumu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania katika Umoja wa Mataifa, Tuvako Manongi akizungumza wakati wa mjadala wa wazi ulioandaliwana Baraza Kuu la Usalama la Umoja wa Mataifa na kufunguliwa na Katibu Mkuu Ban Ki Moon. Mjadala huo ulihusu uhusiano kati ya Amani na Haki na Mahakama ya Kimataifa ya Makosa ya Jinai ( ICC) miongoni mwa mambo aliyosisitiza Balozi Manongi ni pamoja na kuishauri ICC kutenda haki bila kuegemea upande wowote na kwamba ijitahidi kujiepusha na ushawishi wa kisiasa kutoka nchi yoyote ile likiwamo Baraza Kuu la Usalama.
Wajumbe wa Baraza Kuu la Usalama la Umoja wa Mataifa katika mkutano wake wa wazi uliokuwa ukijadili uhusiano kati ya Amani na Haki na Mahakama ya Kimataifa ya Makosa ya Jinai. 
  

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...