Assalaamu Alaykum Wapendwa katika Imani,

Kama mjuavyo, Inshaallah Eid El Adh-ha itasherehekewa Siku ya IJUMAA 26-10-2012
Ufuatao ni utaratibu wa Sherehe zetu hapa katika mji wa Leicester, Uingereza:

Inshaallah Sala ya Eid itasaliwa katika ukumbi wa Taylor Road School na kufuatiwa na Kifungua kinywa kwa utaratibu huu:
 
TAKBEER: Zitaanza Saa Mbili na Nusu asubuhi (8.30am)
SALA YA EID: Itasaliwa Saa Tatu Kamili asubuhi (9.00am)
PAHALA: Taylor Road School, Taylor Road, Leicester, LE1 2JP
KIFUNGUA KINYWA: Baada ya Sala Waumini watjumuika kama kawaida yetu kupata kifungua kinywa

PAHALA: 1st Floor, Kocha House, Malabar Road, Leicester, LE1 2PD

AN NOOR COMMUNITY LEICESTER
yakutakieni nyote
 MUBAARAK!!!

Kwa maelezo zaidi tafadhali wasiliana nasi:
Mohammed Omar 07903978481, Abdul Dau 07792104495, Khamis Sahal 07982124581, Omar Hussein 07565512058

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. Eid mubaraak wadau mie nauliza jee CHUZI LA MBUZI litakuwepooooo?

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...