Waziri wa Maliasili na Utalii, Balozi Khamis Kagasheki akizungumza wakati wa hafla ya kuzindua mkakati wa miaka mitano wa Utangazaji wa Kimataifa wa Utalii wa Tanzania (International Marketing Strategy For Tanzania) uliofanyika jijini Dar es salaam
 Mkurugenzi wa Bodi ya Utalii Tanzania (TTB) Dk. Aloyce Nzuki akizungumza katika hafla ya uzinduzi wa mkakati wa miaka mitano wa Utangazaji wa Kimataifa wa Utalii wa Tanzania (International Marketing Strategy For Tanzania) uliofanyika jijini Dar es salaam.
 Mwenyekiti wa Shirikisho la vyama vya Utalii Tanzania (TCT), Gaudence Temu akizungumza wakati wa uzinduzi wa mkakati wa miaka mitano wa Utangazaji wa Kimataifa wa Utalii wa Tanzania (International Marketing Strategy For Tanzania) uliofanyika jijini Dar es salaam
 Baadhi ya wadau wa uwindaji wakiwa katika hafla hiyo.
 Waziri wa Maliasili na Utalii, Balozi Khamis Kagasheki akiteta jambo na Mkurugenzi wa Bodi ya Utalii Tanzania (TTB) Dk. Aloyce Nzuki. 

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. Hong Kong authority on Friday(16 November)seized 500 pieces of ivory tusks from Tanzania worth $1.4 million (Sh2.24 billion) —the second such major haul in a month(Source:The Guardian,TZ )

    David V

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...