Kokolikoooo... na  Ankal anaamka na ngoma ya 'Stomp' ya Brothers Johnson. Ankal anapenda kutoa shukurani kwa wadau kibao wanaopiga simu na kuunga mkono safu hii ya ngoma azipendazo, wengi wakikubali kwamba hakika enzi hizo kulikuwa na mambo sio ya kawaida.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. Ankal, hii mwisho. Yaani inanikumbusha mbaali sana. Enzi za muziki wa kweli. Siku hizi micharuko mitupu. Endelea kutuburudisha. Turushie Marvin Gaye tukamilishe weekend. Mdau, Manzese

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...