![]() |
Wajumbe kutoka Malawi wakimsikiliza Bw. Haule (hayupo pichani) wakati wa majadiliano hayo. |
![]() |
Wajumbe kutoka Tanzania wakimsikiliza Katibu Mkuu wa Malawi (hayupo pichani) wakati wa majadiliano hayo. |
![]() |
Wajumbe wa pande zote mbili wakati wa majadiliano hayo. Picha zote na Rosemary Malale wa Wizara ya Mambo ya Nje |
Kwa msimamo wa Malawi sifikiri kama watafikia muafaka, labda roho wa Mungu awashukie Malawi wabadilishe msimamo.
ReplyDeleteWasitucheleweshe hawa,
ReplyDeleteNataka watueleze ni nchi gani duniani ambayo kwa ziwa lililopo mpakani inalimiliki lote?
Unaweza kuwa Msomi au hata ukawa mjuzi sana wa Kiingereza lakini ukawa bado ni mjinga na hujaelimika!
Hawa jamaa Malawi wanajifanya wanajua sana Kiingereza huku Sheria za Kimataifa zikiwa zimo ktk lugha ya Kiingereza lakini wao wana madai ambayo yamepitwa na wakati.
Sheria huenda na wakati, ina maana Sheria ya Mkoloni wanayosimamia wao kama hoja ya kulidai Ziwa Nyasa ilishapitwa na wakati na sasa Sheria za Mipaka ya kwenye maji ni za Kimataifa ambapo umbo lolote la maji (ziwa, mto au bahari) la mpakani hugawanywa kwa nchi baina yake.
Hivi jamani Mjerumani na Mwingereza waliwahi kututawala, hivi inawezekana tukawa bado Sheria walizotuachia tunazitekeleza hadi leo hii?, pana atakaye kubali kuburuzwa Mahakamani kwa Sheria za Mkoloni?
Waache kuingiza gharama za Vikao na kupoteza muda bureee!
malawi wameshaeleza msimamo wao sasa sijui mazungumzo haya ni ya nini haswa.
ReplyDelete