Meneja uhusiano wa Airtel Jackson Mmbando akifafanua jambo wakati wa
uzinduzi wa promosheni mpya ya Airtel "AMKA MILIONEA" .kulia ni
Meneja Huduma za Ziada Airtel,Francis Ndikumwami na Kushoto ni Afisa Mahusiano na Matukio wa
Airtel,Dangio Kaniki.kujiunga na promosheni hiyo mteja atatakiwa kutuma neno
SHINDA au WIN kwenda namba 15595 bure na atapokea maswali
atakayoyajibu na kukatwa sh 350 kila sms na kupata point
zitakazomuwezesha kushinda.
Home
Unlabelled
Airtel yazindua promosheni mpya kwaajili ya wateja wake mwisho wa mwaka 2012
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...