Bwana harusi Emmanueli na mpambe wake Frank wakiingia kanisani |
Hakika ni furaha hapa bwana harusi anamtambua mkewe kwa kumfunua shela kabla ya ndoa kufungwa |
Sasa bwana na bibi harusi wanaingia kanisani tayari kwa ibada ya ndoa |
Mchungaji Emmanuel Mwasota toka E.A.G.T toka DSM ndiyo aliyofungisha ndoa hiyo |
Hapa bwana harusi akimvisha mkewe pete huku bibi harusi akiwa katika furaha kubwa na kumshukuru mungu kwa kumuepusha mumewe katika ajali iliyotokea |
Hapa wakipata baraka ya ndoa kutoka kwa wachungaji mbalimbali wa kanisa hilo la AGAPE |
Sasa tu mwili mmoja kitakachotutenganisha ni kifo tu jina la bwana libarikiwe |
Bwana harusi akipokea cheti cha ndoa toka kwa mchungaji Mwasota |
Wakiwa na nyuso za furaha mara baada ya kufunga ndoa.Picha zote na Mbeya Yetu Blog |
Mungu ni mwema sana.Ni nani anayeweza kututenga na upendo wake, hakuna,Mungu ashukuriwe kijana Emmanuel kwa kukuepusha na kifo.Hutasahau siku hiyo itakupa ushuhuda wa mapenzi ya Mungu daima.Mchumba wako ameonyesha upendo wa dhati kukutunza katika hali hiyo kupiga picha katika hali hiyo,kweli umepata mke mwema.JIna la Bwana na lihimidiwe sana.Mungu awape baraka nyingi katika ndoa yenu.
ReplyDeleteNeimelipenda tabasamu la Bwana Harusi, kweli duniani wawili wawili
ReplyDeletehakika umepata mke mwema.dunia nzima imeshuhudia upendo wake kwake.baraka za mungu ziwatangulie ili huu uwe mfano kwa watu wengine..nimejifunza kitu kutoka kwenu pamoja na kuwa siwafahamu.
ReplyDelete