MWAKA 2012 UMEKUA NI WAMAFANIKIO SANA, MWENYEZI MUNGU AMENIJAALIA MWANZO WA MWAKA KUANZISHA RESTAURANT NYUMBANI TANZANIA KWA MAFANIKIO MAKUBWA KABISA PIA MWISHO WA MWAKA MWENYEZI MUNGU AMENIJAALIA NIMEPATA MTOTO MZURI SANA WA KIKE AMEEN

HAIKUA KAZI NDOGO KUANZISHA RESTAURANT NA KUHAKIKISHA WALAJI WOTE WAWE KATIKA MIKONO SALAMA NA WAFURAHIE CHAKULA.

KWA SASA NIPO MAPUMZIKONI NITAJITAHIDI SANA NIWEZE KUWEKA RECIPE ZOOTE KATIKA PICHA PIA NIWEKE RECIPE MPYA MUWEZE FURAHIA MWAKA MPYA.

NAIMANI TUTAUANZA MWAKA 2013 KWA FURAHA, AFYA NJEMA NA MAFANIKIO

HUKU NI BARIDI SANA  





Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 4 mpaka sasa

  1. Je anaweza kupika mchuzi wa kupaka?

    ReplyDelete
  2. Hongera sana kaka Issa kwa kupata mtoto. Mungu amjalie afya njema pamoja na mama yake. Mie ni msomaji sana wa blog yako na huwa najitahidi kupika mapishi unayoyaweka. Nasubiria kwa hamu mapishi mapya.

    ReplyDelete
  3. kaka nakupa hongera sana kupata mtoto wa kike
    NAMI NITAFUATAILIA MAPISHI YAKO AMBAYO SIJAWAHI KUYAONA LEO NI MARA YANGU YA KWANZA KUKUONA NA KUONA WEBSITE YAKO
    MUngu akuabriki uejee salama na uendelee na kazi yako

    ReplyDelete
  4. heloo...asante kwa salamu nimetemmbelea blog yako kwa mara ya kwanza. nimependa saaaaaana.
    KITU KIMOJA TUU BRO NAKUOMBA SAANA NENO 'FATILIA'...SIO SAHIHI....badala yake NI 'FUATILIA'

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...