Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt Ali Mohamed Shein amemteuwa Dkt Abdullah Ismail Kanduru kuwa Mwenyekiti wa Baraza la Chuo Cha Sayansi za Afya ,Zanzibar.
Kwa mujibu wa taarifa iliotolewa na Katibu wa Baraza la Mapinduzi na Katibu Mkuu Kiongozi Dkt Abdulhamid Yahya mzee amesema kuwa Rais amefanya uteuzi huo kwa mujibu wa kifungu cha 7(1) cha Sheria ya Chuo cha Sayansi za Afya,Zanzibar namba 10 ya mwaka 1998.
Uteuzi huo umeanza leo.
NA IDARA YA HABARI MAELEZO ZANZIBAR
7/12/2012
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...