Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi  Dkt Ali Mohamed Shein amemteuwa Dkt Abdullah Ismail Kanduru kuwa Mwenyekiti wa Baraza la Chuo Cha Sayansi za Afya ,Zanzibar.
 
Kwa mujibu wa taarifa iliotolewa na Katibu wa Baraza la Mapinduzi na Katibu Mkuu Kiongozi Dkt Abdulhamid Yahya mzee amesema kuwa Rais amefanya uteuzi huo  kwa mujibu wa kifungu cha 7(1) cha Sheria ya Chuo cha  Sayansi za Afya,Zanzibar namba 10 ya mwaka 1998.
  
Uteuzi huo umeanza leo.
 
NA IDARA YA HABARI MAELEZO ZANZIBAR
7/12/2012

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...