Bendi ya Muziki wa dansi Ngoma Africa Band yenye makao yake nchini Ujerumani inawatakia wadau wote Heri ya Siku kuu ya X-Mass, Amani na Upendo ndio msingi pekee wa furaha ya maisha. Merry X-Mass wadau wote ! Popote mlipo Furahia Merry Christmass na midundo ya Ngoma Africa kwa kubofya at 

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 3 mpaka sasa

  1. Ahasanteni sana kwa salamu wana wa Makunjazzz !!!

    ReplyDelete
  2. Maafande wa ffu,nyinyi mnakubalika kitaifa na kimataifa,Sisi wadau wenu tunawatakieni krismasi njema na heri ya mwaka 2013,Mungu awazidishe nguvu
    katika gwaride lenu

    ReplyDelete
  3. hiiii! Kikosi maalumu cha FFU aka watoto wa mbwa,nanyi tunawatakia merry x-mass na baraka za mwaka mpya,
    zidisheni virungu kama kawaida yenu ffu bin watoto mbwa

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...