: Mabingwa wa Kombe la Ujirani Timu ya hoteli ya Seronera wakifurahia ushindi baada ya kuilaza kwa mabao 5-4 hoteli ya Four Seasons Safari Lodge  katika Uwanja wa Kifaru katika Hifadhi ya Serengeti mkoani Mara leo. Hadi mechi inaisha timu hizo zilitoka sare ya 1-1 kabla kupigwa mikwaju ya penati ambapo Serena walifunga mabao 4 na dhidi ya 3 ya wapinzani wao.  Mgeni rasmi alikuwa Rais Jakaya Kikwete.
 Rais Jakaya Mrisho Kikwete akipozi na timu ya Serena Serengeti Lodge kabla ya mchezo
 Rais Jakaya Kikwete akipozi na timu ya Four Seasons safari Lodge
 Mashabiki wa timu hizo mbili wakicharurana wakati mchezo unaendelea
 Wadau wakishuhudia mpambano huo
Hureeeeeeeee.......!!!! Serena wakishangilia penati ya mwisho iliyowapa ubingwa baada ya kuwashinda Four Seasons safari Lodge kwa matuta.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. Ankal una mbio za kutosha?Wakitokea Mbogo(Nyati) hapo,itakuwa balaa.

    David V

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...