Jeshi la Polisi mkoani Katavi limepokea jezi za mchezo wa mpira wa miguu kwa lengo la kuendeleza uhusiano wa Polisi Shirikishi.Pichani anaonekana Mbunge wa Viti Malumu mkoa wa Katavi,Mh Dkt. Prudenciana Kikwembe akimkabidhi RPC wa Mkoa wa Katavi,Kamishina Msaidizi wa Jeshi la Polisi Dhahiri Kidavashari na aliye simama pembeni anashuhudia ni Mkuu wa wilaya ya Mlele,Kanali Ngemera Rubinga.Makabidhiano hayo yalifanyika mbele ya Waziri Mkuu Mizengo Pinda (hayupo pichani) katika kijiji cha kibaoni Mkoa wa Katavi.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...