Wakili mpya, Bi. Beatrice Makelele akiwa amekula pozi na kaka yake, Nathan Mpangala, mara baada ya kukubaliwa na kusajiliwa kuwa wakili katika sherehe zilizofanyika katika viwanja vya Law School of Tanzania, jijini Dar es Salaam, leo. Bi. Makelele ni miongoni mwa mawakili wapya 654.
 Wakili mpya, Bi. Beatrice Makelele, alipata pia nafasi ya kupiga picha na Kamanda Polisi Kanda Maalum, Dar es Salaam, Bw. Suleiman Kova. Hii ilikuwa mara baada ya kukubaliwa na kusajiliwa kuwa wakili katika sherehe zilizofanyika katika viwanja vya Law School of Tanzania, jijini Dar es Salaam leo
 Wakili mpya, Bi. Beatrice Makelele akiteta jambo na mumewe, Bw. Nico Makelele, mara baada ya kukubaliwa na kusajiliwa kuwa wakili katika sherehe zilizofanyika katika viwanja vya Law School of Tanzania, jijini Dar es Salaam leo
 Mawakili wapya, Bi. Beatrice Makelele(kushoto) na Bi. Ananienyi njiro,  wakionesha furaha yao baada ya kulamba uwakili katika sherehe zilizofanyika katika viwanja vya Law School of Tanzania
aadhi ya mawakili wapya waliosajiliwa leo wakiwa katika picha ya pamoja na Mhe. Jaji Mkuu, Othman Chande (wa tatu kutoka kushoto mstari wa mbele), mara baada ya kulamba uwakili katika sherehe zilizofanyika katika viwanja vya Law School of Tanzania, jijini Dar es Salaam, leo. Picha na Kijasti Bikozi

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...