Tunasikitika kutangaza kifo cha mpendwa wetu Ndugu Amos Matius Baluhya kilichotekea ghafla tarehe 6/12/2012 huko Mtwara. Mwili wa marehem unasafirishwa leo kuja Dar er Salaam. Ndugu, jamaa na marafiki mnafahamishwa kuwa mwili utaagwa kesho tarehe 8/12/2012 0800hrs nyumbani kwa marehemu Buguruni Malapa karibu na ofisi za Turu security tayari kwa kusafirishwa kwa mazishi yanayotarajiwa kufanyika nyumbani kwao Chato Kagera.
 
"THE LAMP IS OFF NOT BECAUSE IT HAS NO FUEL BUT BECAUSE MORNING HAS COME" BWANA AMETOA, BWANA AMETWAA JINA LAKE LIHIMIDIWE.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 2 mpaka sasa

  1. Jamani, Such a smart young man going too soon, poleni sana sana wafiwa.... Mwenyezi Mungu amweke mahali pema peponi, Amina.

    ReplyDelete
  2. Mungu ampumzishe mwenzetu salama!

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...