Audio za vipindi viwili (jana na leo) vya Amka na PRIDE FM  hosts
 ni Andrew Mturi na Sospeter Magumba


 
KAULI YA WAZIRI MKUU MIZENGO PINDA

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 3 mpaka sasa

  1. Well done PRIDE-FM for ensuring a broad coverage of the important news! Well done Michuzi blog too.

    ReplyDelete
  2. Hatutaendelea mpaka tuache hii lugha ya kusaidia/kusaidiana tunayoitumia.
    Gesi iko Mtwara basi mkoa wa huo uiuzie Tannesco gesi hiyo ili mkoa huo ujiendeleze kiuchumi na ujitegemee. Tannesco inauzia watu umeme basi inunue gesi Mtwara, sio kujenga magorofa marefu wakati watu watu wanakosa umeme. Uchumi ni kununua hapa kwa bei ya chini na kuuza pale kwa bei ya juu. Na haya ndio makosa ya uchumi wa Tanzania.Waulize watu wa Arusha na Tanzanite kama wanafaidika na madini hayo .....Faida za utalii zote zaenda Dar es Salaam wakati hifadhi ziko Mikoani.Dhahabu, almasi,gesi ya songosongo, .....ujinga huu utaisha lini?
    Kwanini kunapotokea mgogoro serikali inakimbilia kuita viongozi wa dini?

    ReplyDelete
  3. Gasi ni ya Watanzanis wote.
    Hiyo ni mali asili ya taifa zima.
    Mlima Kilimanjaro sio wa watu wa Kilimanjaro tu ni mlima wa Tanzania nzima .
    Mbugs zs wanysma sio zs sehrmu mbuga zilipo ni zs Watanzania wote. Wans Mtwara amkeni mtsnufsiks kuliko kulumbana.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...