Ngoma ya 'Gere' ya The Kilimanjaro Band "Wana Njenje" si ya mchezo. Ikipigwa lazima utamuonea gere bibie Nyota akiwa Jukwaani, hasa anapoita kabila moja moja kuonesha umahiri wake wa kunanihiii kiuno

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. Hii ngoma huwa inachekechekecha kabisa, wanionea gere. Huyu mwana mama yuko sikumsikii siku hizi?

    Huu mziki hatukaa uchuje hata siku moja nakwambia. Mimi wakati nakua ndo uliimbwa mpaka sasa wanikuna pamoja na kukaa ughaibuni mda mrefu.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...